iqna

IQNA

wiki ya qurani
Milad un Nabii
ALGIERS (IQNA) - Waziri Wakfu na Masuala Kidini wa Algeria katika kikao na wasimamizi wa wizara hiyo walijadili kufanya sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) yaani Maulidi au Milad un Nabii.
Habari ID: 3477658    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 24 la Wiki ya Kitaifa ya Qur’ani limezinduliwa nchini Algeria katika sherehe siku ya Jumanne.
Habari ID: 3475953    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/19